Mfahamu Alfred Ogombo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Military Ordinariate of Kenya Parokia ya Holy Rosary, Embakasi Garrison - Nairobi
Idadi ya nyimbo SMN: 99 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Military Ordinariate of Kenya
Parokia anayofanya utume: Holy Rosary, Embakasi Garrison - Nairobi
Namba ya simu: +254723732338 or +254777732338
Soma Historia na maelezo yake hapa
email: alfredogombo@gmail.com
facebook: Alfred Ogombo
whatsapp + voicecall: +254723732338.
‘Nitamwimbia Bwana maisha yangu yote, nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi’ Zab 104: 33
‘Ee Bwana, nitakusifu katikati ya mataifa, nitaimba sifa zako katikati ya mataifa’ Zab 108: 3
‘Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa, jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu Yeye’ Zab 147: 1..
Kwa kuimba vizuri tumsifu Yesu kristu..