Mfahamu John Sebeya, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la GEITA Parokia ya YOSEF MFANYAKAZI KATORO
Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: GEITA
Parokia anayofanya utume: YOSEF MFANYAKAZI KATORO
Namba ya simu: 0754250727
Soma Historia na maelezo yake hapa
Ni mwalimu wa kwaya katika parokia ya Yosef mfanyakazi katoro ,jimbo la Geita kwa sasa. Ni mwajiriwa wa serikali ya Tanzania kada ya Elimu ya Msingi katika wilaya ya Chato.