Mfahamu Joseph Rimisho, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Arusha Parokia ya Ngaramtoni
Idadi ya nyimbo SMN: 53 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Arusha
Parokia anayofanya utume: Ngaramtoni
Namba ya simu: 0756940203
Soma Historia na maelezo yake hapa
Jina: Joseph Justine Rimisho
Makazi: Arusha
Anwani: P.o.Box 13726, Arusha, Tanzania, East Africa
Barua pepe: rimishojoseph@gmail.com
Simu: 0756940203
Parokia: Mt. Mathias-Ngaramtoni, Arusha
Kuhusu Muziki: Mtunzi wa nyimbo za kanisa, mcheza kinanda(organist), na mtiribu