Ingia / Jisajili

Kakoyo Damian Aureus Msuha

Mfahamu Kakoyo Damian Aureus Msuha, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbinga Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 0 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Mbinga

Parokia anayofanya utume: Mt. Aloyce Gonzaga

Namba ya simu: 0752289555

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Kakoyo D. A. M alianza utume wa uimbaji mwaka 2009 akiwa kidato cha kwanza na kushawishika kusoma muziki mwaka 2013 akiwa kidato cha tano baada ya kuona umuhimu mkubwa wa kufanya hivyo.