Mfahamu Kakoyo Damian Aureus Msuha, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Mbinga Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga
Idadi ya nyimbo SMN: 0 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Mbinga
Parokia anayofanya utume: Mt. Aloyce Gonzaga
Namba ya simu: 0752289555
Soma Historia na maelezo yake hapaKakoyo D. A. M alianza utume wa uimbaji mwaka 2009 akiwa kidato cha kwanza na kushawishika kusoma muziki mwaka 2013 akiwa kidato cha tano baada ya kuona umuhimu mkubwa wa kufanya hivyo.