Ingia / Jisajili

Madam Edwiga Upendo

Mfahamu Madam Edwiga Upendo, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Jimbo Katoliki Moshi Parokia ya Kanisa la Mt. Joseph,Mwenge

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 47 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Jimbo Katoliki Moshi

Parokia anayofanya utume: Kanisa la Mt. Joseph,Mwenge

Namba ya simu: +255743434939

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Nimeanza kuimba kwaya tangu mwaka 2003 nikiwa darasa la Tano kanisa Katoliki Mtimhoo Rombo Jimbo katoliki Moshi. Mwaka 2013 mpaka 2015 nikajiunga na kwaya ya Mt Joseph Chuo kikuu cha kikatoliki Mwenge. Mwaka 2015 baada ya kuhitimu shahada ya kwanza chuoni nikajiunga na kwaya za Parokia Teule ya Mt. Joseph Mwenge mpaka sasa ambapo kwa sasa naimbia kwaya ya Mt. Theresia wa mtoto Yesu.

Kikazi nipo nafundisha Hesabu na Takwimu katika Chuo Kikuu Cha Kikatoliki Mwenge Moshi.