Mfahamu Michael Mhanila, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la IRINGA Parokia ya SADANI
Idadi ya nyimbo SMN: 15 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: IRINGA
Parokia anayofanya utume: SADANI
Namba ya simu: 0752268246
Soma Historia na maelezo yake hapa
Mimi ni Michael Mhanila ni Mwanachuo cha Mt. Augustino Mwanza ni Mwalim wa Kwaya ya Mt. Martin De porres naimba kwaya ya mtakatifu bakhita parokia ya sadani ninaelimu ndogo ya kimziki kwa sasa nipo mwaka wa pili wa ualimu .tumsifu Yesu kristo