Mfahamu Sisko Samson , mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la kigoma Parokia ya buhingu
Idadi ya nyimbo SMN: 5 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: kigoma
Parokia anayofanya utume: buhingu
Namba ya simu: 0688697800
Soma Historia na maelezo yake hapa
Sisko samsoni ni mtunzi wa nyimbo za rc pia ni mpiga kinanda hodari. Anaishi kijiji cha Herembe kilichopo mkoani kigoma anaipenda sana huduma hii hata kama yuko kijini .