Ingia / Jisajili

Stephen Kagama

Mfahamu Stephen Kagama, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la KAHAMA Parokia ya Nyasubi

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 4 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: KAHAMA

Parokia anayofanya utume: Nyasubi

Namba ya simu: 0768343190

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Mtunzi huyu anaitwa Stephen James Kagama anaimba kwaya ya Yesu Krestu mfalme parokia ya mt. Stephano shahidi nyasubi..anapenda kumwimbia na kumsifu Mungu pia mtunzI huyu anaimba kwaya ya mt. Aloyce jumuiya ya mt Aloyce Kampala International University Dar es Salaam cumpas parokia ya Ukonga ..ni mwanafunzi wa chuo hicho.. Mtunzi ameimba kwaya mbalimbali kama kwaya ya mt Joseph mfanyakazi parokia ya jina takatifu la yesu Bukombe kuanzia mwaka 2006 hadi 2009 pia kwaya ya seminari hapo ushirombo seminari ya malkia wa mitume jimboni kahama pia mtunzi ameimba kwaya ya mt Cecilia majengo secondary Moshi kabla ya kujiunga na kwaya ya Yesu kristu mfalme nyasubi baadae kwaya ya chuo kikuu cha Kampala Gongolamboto. Mtunzi ana nyimbo mbalimbali ambazo zinapatikana hapa na kwenye hard copy (zilizoqndikwa kwa mkono) karibuni wote tuimbe na kumsifu Mungu kupitia karama za utunzi wa nyimbo... TUMSIFU YESU KRISTU...!!!