Mfahamu Ernest Magunus, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la kahama Parokia ya kahama mjini
Idadi ya nyimbo SMN: 2 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: kahama
Parokia anayofanya utume: kahama mjini
Namba ya simu: 0759852211
Soma Historia na maelezo yake hapaErnest Magunus Ameanza uimbaji mwaka 2008 katika kwaya ya wat: petrol na Paulo ( palokia ya kahama mjini - jumbo la kahama) pia ameitumikia kwaya ya moyo mtakatifu wa yesu ( chuo kikuu Dodoma) ameanza kujifunza mziki mwaka 2014 si mtunzi mkomavu sana bado anajifunza.