Mfahamu Frt Norbert Nyabahili, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Shinyanga Parokia ya Malampaka parish na Buhangija Parish
Idadi ya nyimbo SMN: 9 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Shinyanga
Parokia anayofanya utume: Malampaka parish na Buhangija Parish
Namba ya simu: 0756399393
Soma Historia na maelezo yake hapa
Kwa majina naitwa Frt Norbert Nyabahili mwalimu wa muziki na organist ninayefanya utume wa uimbaji parokia ya Bihangija jimbo katoliki la Shinyanga. KARIBUNI SANA WAPENDWA KUMUIMBIA MUNGU MUZIKI MTAKATIFU.