Mfahamu Ivan Kahatano, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Jimbo katoliki la Dar es Salaam Parokia ya Parokia ya Mtakatifu Ambrose Taghaste
Idadi ya nyimbo SMN: 11 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Jimbo katoliki la Dar es Salaam
Parokia anayofanya utume: Parokia ya Mtakatifu Ambrose Taghaste
Namba ya simu: 0625 821193
Soma Historia na maelezo yake hapa
Nilianza utume wa uimbaji kwaya nilipojiunga seminari ndogo ya mtakatifu Maria Visiga 2011 nilipokuwa kidato cha kwanza mpaka sasa bado nautumikia utume huo sehemu mbalimbali nchini nikiwa muimbaji wa sauti ya tatu( Tenor ). Mbali na hiyo mimi ni daktari kwa proffessional na mtu niliyebarikiwa kuwa na kipaji cha kucheza kinanda. Nambari zangu za mawasiliano ni 0625 821193 au email: ivankahatano22@gmail.com Ahsante