Mfahamu Yudathadei Chitopela, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Arusha Parokia ya Mt. Theresia
Idadi ya nyimbo SMN: 71 > Zitazame
Jimbo analofanya utume: Arusha
Parokia anayofanya utume: Mt. Theresia
Namba ya simu: +255 754 856 397
Soma Historia na maelezo yake hapa
Ni Mwanakwaya wa kwaya ya Mt.Cesilia katika Parokia ya Mt.Theresia wa Mtoto Yesu - Arusha Cathedral.
Naimba sauti ya Nne. Muziki ni sehemu ya maisha yangu ya kila siku.
Elimu ya Muziki ni pana sana, napenda sana kujifunza kutoka kwa watunzi wengine; unapoona kunashida katika Muziki wangu naomba sana usisite kunifahamisha. nipotayari kujifunza kutoka kwa wengine kwani mimi naamini mawazo ya wenzangu yananisaidia kuboresha nyimbo ninazotunga na ujumbe tunaotakiwa kushirikishana kama Wakristu.
Kwa sasa nafanya kazi Pergamon Group Limited tawi la Arusha.
Muda wangu mwingi wa ziada nautumia katika kutunga nyimbo na kuchora nyimbo za watunzi wenzangu ili kuweza kuzisambaza kwa wengine ili ziwezekutufaha sote watoto wa taifa la Mungu.