Mtunzi: Nkana G.
> Tazama Nyimbo nyingine za Nkana G.
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Goliath Nkana
Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 16
Download NotaKiitikio
Amani ni upendo, Amani ni Furaha, Amani utulivu, Amani ni baraka, Amani ni hekima itokayo kwa Mungu.
Ee Mungu tunakuomba Hekima yako, ulibariki Taifa la Tanzania
Amani uloiweka iimarishe, Upendo ulouweka uimarishe.
Amani tunaipenda, Ee Mungu ututazame. Amani yetu kweli tunaipenda, Ee Mungu utubariki.
Mashairi:
1. Ee Mungu twaomba usituache gizani, usiruhusu ubaya utuangamize sisi, wanao twakuomba
2. Tunawaombea wapotezao Amani, uwageukie Bwana, uwaguse nyoyo zao wakutambue Bwana
3. Tunawakaumbuka walopoteza uhai kwa sababu mbalimbali za uvunjifu wa Amani, Bwana uwapokee.