Ingia / Jisajili

Amani Tanzania

Mtunzi: Nkana G.
> Tazama Nyimbo nyingine za Nkana G.

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Goliath Nkana

Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 16

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Amani ni upendo, Amani ni Furaha, Amani utulivu, Amani ni baraka, Amani ni hekima itokayo kwa Mungu.

Ee Mungu tunakuomba Hekima yako, ulibariki Taifa la Tanzania

Amani uloiweka iimarishe, Upendo ulouweka uimarishe.

Amani tunaipenda, Ee Mungu ututazame. Amani yetu kweli tunaipenda, Ee Mungu utubariki.

Mashairi:

1. Ee Mungu twaomba usituache gizani, usiruhusu ubaya utuangamize sisi, wanao twakuomba

2. Tunawaombea wapotezao Amani, uwageukie Bwana, uwaguse nyoyo zao wakutambue Bwana

3. Tunawakaumbuka walopoteza uhai kwa sababu mbalimbali za uvunjifu wa Amani, Bwana uwapokee.


Maoni - Toa Maoni

Thomas Apr 17, 2018
Hongera sana uko vzr

Toa Maoni yako hapa