Ingia / Jisajili

Bwana Amefufuka (2Nd Version)

Mtunzi: Dr Eusebius Jose Mikongoti
> Mfahamu Zaidi Dr Eusebius Jose Mikongoti
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr Eusebius Jose Mikongoti

Umehakikiwa na Kamati ya Uhakiki

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Eusebius Joseph Mikongoti

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 16

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA AMEFUFUKA

Na Dr Mikongoti, E. J

Kiitikio:

Bwana amefufuka tuimbe aleluya, kwelikweli ale-luya x2

Bwana kafufuka, kwelikweli aleluya, mauti ameyashinda kweli Bwana ni mzima x2

Mashairi

1. Ni siku ya tatu leo kafufuka, kaacha kaburi wazi ni mzima, tumshangilie twimbe aleluya

2. Utukufu na ukuu una yeye, hata milele milele milele, alelu-ya ale--luya.

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa