Mtunzi: Augustino Isack
> Mfahamu Zaidi Augustino Isack
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustino Isack
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Augustino isack
Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 31
Download Nota Download Midi(K) Bwana ndiye anayeitegemeza anayeitegemeza nafsi yangu [1] Ee Mungu kwa jina lako uniokoe, Na kwa uwezo wako unifanyie hukumu Ee Mungu uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu. [2 ]Kwa maana wageni wamenishambulia, Wote watishao wanaitafita nafsi yangu; Hawakumuweka mungu mbele yao. [3]Tazama, Mungu anayenisaidia; Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu, Ee bwana, nitalishukuru jina lako, maana ni jema.