Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Fungu

Mtunzi: Furaha Mbughi
> Mfahamu Zaidi Furaha Mbughi
> Tazama Nyimbo nyingine za Furaha Mbughi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Benny Weisiko

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 30

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 13 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Bwana ndiye fungu la posho langu, na la kikombe changu, wewe unaishhika kura yangu kura yangu. X2

MASHAIRI

  1. (suprano + Alto) Mungu unihifadhi maana nakukimbilia wewe, nimemwambia Bwana, ndiwe Bwana wangu, Bwana ndiye fungu la posho langu na la kikombe changu.
  2. (Tenno + Bass) Nitamhimidi Bwana aliyenipa shauri, Naam, mtima wangu, umenifundisha usiku, Nimemweka Bwana mbele yangu daima, kwa kuwa yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa.
  3. (suprano + Alto) Kwa hiyo, moyo wangu unafurahi unafurahi, na utukufu wangu, unashangilia, mwili wangu utakaa kwa tumaini.
  4. (Tenno + Bass) Utanijulisha njia ya uzima, mbele za uso wako ziko furaha tele, na katika mkono wako wa kuume, mna mema mema ya milele.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa