Maneno ya wimbo
Bwana Mimi niende wapi niende wapi Mimi chini ya jua hapa mateso mengi;×2 Nakuomba Bwana wangu unisaidie, Bila were Mimi siwezi kitu.×2
MASHAIRI:
(1).Vishawishi, vingi vya nizunguka, ninakuomba Bwana unisimamie.
(2).Magonjwa, yanani nyemelea, nina kuomba Bwana unikinge nayo.
(3).Vita vingi, vinavyo nizunguka, Nina kuomba Bwana niepushe navyo.