Ingia / Jisajili

Ee Bwana Mimi Nitakusifu

Mtunzi: Lucas. B. Bukomba

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfred Marikani

Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 22

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana mimi nitakusifu (Lucas B. Bukome)

Ee Bwana mimi nitakusifu mimi nitakusifu mimi nitakusifu (Bwana ii) mimi nitakusifu mimi nitakusifu mimi nitakusifu ×2 Nitaimba siku zote (zote nitaimba iv) nitaimba na kulitangaza jina lako milele yote ×2

1.      Nitashangilia na kufurahia fadhili zako maana wewe ni mwamba wa wokovu wangu

2.      Wewe ndiwe nuru yangu na ngome yangu na uzima wangu nitakusifu milele milele amina.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa