Mtunzi: Lucas. B. Bukomba
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Alfred Marikani
Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 22
Download Nota (TZS 20) Download MidiEe Bwana mimi nitakusifu (Lucas B. Bukome)
Ee Bwana mimi nitakusifu mimi nitakusifu mimi nitakusifu (Bwana ii) mimi nitakusifu mimi nitakusifu mimi nitakusifu ×2 Nitaimba siku zote (zote nitaimba iv) nitaimba na kulitangaza jina lako milele yote ×2
1. Nitashangilia na kufurahia fadhili zako maana wewe ni mwamba wa wokovu wangu
2. Wewe ndiwe nuru yangu na ngome yangu na uzima wangu nitakusifu milele milele amina.