Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye
Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi
Umepakiwa na: respiqusi mutashambala
Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 80
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 5 ya Kwaresma Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 5 ya Kwaresma Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 5 ya Kwaresma Mwaka C
Ee Bwana unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe na mtu wa hila asiye haki. Kwakuwa wewe ndiwe Mungu uliye Nguvu zangu X2
1. Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze/ zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu, na hata maskani zako.
2. Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu/ Kwa Mungu aliye raha yangu na shangwe yangu.
3. Nitakusifu kwa kinubi/ Ee Mungu, Mungu wangu.