Mtunzi: Emmanuel Sebastian
> Mfahamu Zaidi Emmanuel Sebastian
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Emmanuel Sebastian
Umepakuliwa mara 16 | Umetazamwa mara 19
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 15 Mwaka C
Enyi Mumtafutao Mungu,
(mioyo yenu ihuishwe, Mioyo yenu Ihuishwe ) X2
Mashairi:
1. Nami maombi yangu nakuomba wewe Bwana, kwa wingi wa fadhili zako Bwana unijibu
2. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni, Mungu wokovu,wokovu wako utaniinua
3. Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani