Ingia / Jisajili

Heri Kila Mtu Amchaye Bwana

Mtunzi: Dr. Basil B. Tumaini
> Mfahamu Zaidi Dr. Basil B. Tumaini
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. Basil B. Tumaini

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Ndoa | Zaburi

Umepakiwa na: Basil Tumaini

Umepakuliwa mara 28 | Umetazamwa mara 44

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

HERI KILA MTU AMCHAYE BWANA (Zab. 128)

Mtunzi: Dr. Basil B. Tumaini (0767847258)

KIITIKIO:                                                                                

Heri kila mtu amchaye BWANA,

Aendaye katika njia yake.

MASHAIRI:

1.    Heri kila mtu amchaye BWANA, aendaye katika njia yake.

Taabu ya mikono yako hakika utaila;utakuwa heri na kwako kwema.

2.     Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao vyumbani mwa nyumba yako.

Wanao kama miche ya mizeituni wakiizunguka meza yako.

3.    Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye BWANA.

BWANA akubariki toka Sayuni. Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za        maisha yako.

Naam, ukawaone wana wa wanao, amani ikae na Israeli.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa