Ingia / Jisajili

Kama Paa Atamanivyo Maji

Mtunzi: Beatus M. Idama
> Tazama Nyimbo nyingine za Beatus M. Idama

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Beatus Idama

Umepakuliwa mara 28 | Umetazamwa mara 35

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
  1. Ninakiu ewe bwana Mungu wangu ulie hai, nitafika kwako  lini ili nikuone ulie hai.

    Kama paa atamanivyo maji ndivyo roho yangu inavyo kutamani Mungu wangu x 2
     
  2. Mchana ninalia na usiku ninalia chakula change ee bwana kimekua machozi.
     
  3. Kila siku ee Bwana, maadui wananiambia yuko wapi Mungu wako unaemtumainia.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa