Mtunzi: F. A. Mwingira (Fam)
> Tazama Nyimbo nyingine za F. A. Mwingira (Fam)
Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Philemon Kajomola
Umepakuliwa mara 6 | Umetazamwa mara 38
Download Nota Download MidiKikombe kile cha Baraka tukibarikicho je si ushirika wa damu ya Kristo? X2
1. Mkate ule tumegao je si ushirika wa mwili wa Kristo
2. Kwakuwa mkate ni mmoka na sisi wengi ni mwili mmoka
3. Kwakuwa sisi tunapokea sehemu ile ya mkate mmoja