Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa
Makundi Nyimbo: Mazishi
Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA
Umepakuliwa mara 8 | Umetazamwa mara 43
Download Nota Download MidiAUGUSTINE RUTTA 2010.
DSM.
1. Kwaherinii ndugu zangu mimi nakwenda nyumbani, nyumbani kwenye makao ya milele (milele) nikapumzike
2. Majonzi na mahangaiko leo sasa vimekwisha(kuisha), Nimekwenda kwa Baba yangu ( Alto & Bass: baba baba yangu) u u paradizooni
3. Tutaonana m-binguni kwa kuwa kuna makao (makao), Nitawaombea kwa Baba yangu (Alto & Bass: baba baba yangu) nanyi mkafike
4. Niliwapenda sana ndugu lakini Mungu kapenda(kapenda), niombeeni kwake Mungu wetu(Alto & Bass: Mungu Mungu wetu) raha ya milele
5. Kesheni kila wakati kwan hamjui saa (wakati) atakapokuja Yesu (Alto & Bass: Yesu Yesu kuwa) kuwahukumu mataifa