1.Maumbo haya ya Mkate na Divai ni mwili kweli ni Damu kweli ya Bwana Yesu x 2
karibu moyoni mwangu Yesu Bwana wa mapendo uwe nami siku zote x 2
2.Jioni ile kabla ya kifo chake aligeuza Mkate kuwa mwili mwili wake kweli x 2
.karibu moyoni mwangu Yesu Bwana wa mapendo uwe nami siku zote x 2
3.Pia aligeuza kikombe cha Divai kuwa Damu kweli iletayo wokovu.x 2
karibu moyoni mwangu Yesu Bwana wa mapendo uwe nami siku zotex2
4.Ndugu simama jongea Karamuni ukampokee Yesu Rohoni mwako leo x 2
karibu moyoni mwangu Yesu Bwana wa mapendo uwe nami siku zote x 2