Ingia / Jisajili

Mawazo Ninayowawazia Ninyi

Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Beatus Idama

Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 40

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI

Mawazo ninayowawazia ninyi ni mawazo, (ni mawazo) ya amani wala si mabaya;
Nanyi mtaniita nami nitawasikiliza, nami nitawarudisha kutoka mahali pote, watu wenu waliofungwa.

1. Bwana umeiridhia nchi yako, umewarejeza mateka wa Yakobo.

2. Umeusamehe uovu wa watu, umezisitirisha hatia zao zote.

3. Atukuzwe Baba, atukuzwe Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa