Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye
Makundi Nyimbo: Mwanzo
Umepakiwa na: Beatus Idama
Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 40
Download Nota Download MidiMAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI
Mawazo ninayowawazia ninyi ni mawazo, (ni mawazo) ya amani wala si mabaya;
Nanyi mtaniita nami nitawasikiliza, nami nitawarudisha kutoka mahali pote, watu wenu waliofungwa.
1. Bwana umeiridhia nchi yako, umewarejeza mateka wa Yakobo.
2. Umeusamehe uovu wa watu, umezisitirisha hatia zao zote.
3. Atukuzwe Baba, atukuzwe Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele.