Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa
Makundi Nyimbo: Mwanzo
Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA
Umepakuliwa mara 25 | Umetazamwa mara 38
Download Nota Download MidiMIMI NI WOKOVU WA WATU
Bwana asema, Mimi ni wokovu wa watu,
wa kinililia katika taabu yoyote, nitawasiliza,
nami nitakuwa  Bwana wao milele
1. Waniaminio katika shida zao, nitawapa tulizo la milele.
2.Nami nitawapa tulizo la moyo, waniaminio katika shida