Mtunzi: Erick Wakusongwa
> Mfahamu Zaidi Erick Wakusongwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Wakusongwa
Makundi Nyimbo:
Umepakiwa na: Erick Wakusongwa
Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 27
Download Nota Download MidiKIITIKIO
Mkono wako wa kuume amesimama Malkia, amevaa dhahabu ya ofiri.
MASHAIRI
1. [a] Naye Mfalme atautamani uzuri wako, maana ndiye Bwana wako nawe umsujudie
[b] Watapelekwa kwa furaha na shangwe na kuingia katika nyumba ya mfalme.
2. [a] Umebarikiwa Malkia wa Mbingu umebarikiwa, Mama tuombee tunakuja sisi wanawako
[b] Wewe ni nyota ya wasafiri nyota ya wasafiri, sisi wanao tunaimba wewe ni mlango wa uwingu.
3. [a] Maombezi yako yanatutia nguvu tunasema Ahsante Mama Maria Mtakatifu
[b] Utuongoze maishani tuepuke na dhambi uwatulize wenye shida waweze kupata raha