Ingia / Jisajili

Mkono Wako Wa Kuume.

Mtunzi: Erick Wakusongwa
> Mfahamu Zaidi Erick Wakusongwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Erick Wakusongwa

Makundi Nyimbo:

Umepakiwa na: Erick Wakusongwa

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 27

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Mkono  wako  wa  kuume  amesimama  Malkia, amevaa dhahabu  ya  ofiri.

MASHAIRI

1.  [a] Naye  Mfalme  atautamani  uzuri  wako, maana  ndiye  Bwana  wako  nawe  umsujudie

     [b]  Watapelekwa  kwa  furaha  na  shangwe  na  kuingia  katika  nyumba  ya  mfalme.

2.  [a]  Umebarikiwa  Malkia  wa  Mbingu  umebarikiwa, Mama  tuombee  tunakuja  sisi  wanawako

     [b] Wewe  ni  nyota  ya  wasafiri  nyota  ya  wasafiri, sisi  wanao  tunaimba  wewe  ni  mlango  wa  uwingu.

3.  [a]  Maombezi  yako  yanatutia  nguvu  tunasema Ahsante  Mama  Maria  Mtakatifu

      [b] Utuongoze  maishani  tuepuke  na  dhambi  uwatulize  wenye  shida  waweze  kupata  raha

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa