Ingia / Jisajili

Mungu Unihifadhi Mimi

Mtunzi: John Mgandu
> Tazama Nyimbo nyingine za John Mgandu

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 54

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mungu unihifadhi mimi x 2
Kwa maana nimekukimbilia wewe x 2
Mungu unihifadhi mimi

  1. Bwana ndiye fungu la posho yangu, pia la kikombe kikombe changu.
     
  2. Nimemweka Bwana mbele yangu daima, kwa kuwa yuko nami sitaondoshwa. 

Maoni - Toa Maoni

George Jan 09, 2017
wimbo ni mzuri hila kuna vifungu havipatikani, ninaomba unitumie hapa

Toa Maoni yako hapa