Mtunzi: Emmanuel Maghway
Makundi Nyimbo: Zaburi | Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Mazishi | Mwaka wa Huruma ya Mungu
Umepakiwa na: Stanslaus Butungo
Umepakuliwa mara 11 | Umetazamwa mara 27
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 8 Mwaka A
NAFSI YANGU YAMNGOJA MUNGU-Na Emmanuel S. Maghway
Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake i-namngoja, Mungu yamngoja (Bwana) Mungu, peke yake kwa kimya x 2.
Wokovu na tumaini (langu) hutoka kwake, yeye tu ni mwamba (wangu) na ngome ya-ngu sitatikisika x2