Mtunzi: Otto A.mshami
> Mfahamu Zaidi Otto A.mshami
> Tazama Nyimbo nyingine za Otto A.mshami
Makundi Nyimbo: Mwanzo
Umepakiwa na: otto mshami
Umepakuliwa mara 7 | Umetazamwa mara 23
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 15 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 15 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 15 Mwaka C
KIITIKIO:
Mimi nikutazame uso wako katika haki, niamkapo nishibishwe kwa sura yako
MASHAIRI:
1.Ee Bwana kwa mkono wako uniokoe na watu ,watu wa dunia hii ambao fungu lao li katika maisha haya.
2.Matumbo yao wayajaza,wayajaza kwa hazina yako,hushiba wana ,huwaachia watoto wao akiba zao.