Ingia / Jisajili

Nimeona Maji

Mtunzi: Michael Matai
> Mfahamu Zaidi Michael Matai
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Matai

Makundi Nyimbo: Ubatizo

Umepakiwa na: Michael Matai

Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 35

Download Nota
Maneno ya wimbo

Nimeona maji yakitoka hekaruni, upande wakuume Aleluya x2 // Na wote waliofikiwa na maji hayo wakaokoka, nao wakasema aleluya aleluya x2

1. Mshukuruni Bwana kwani ni mwema, Bwana ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

2. Israeli aseme sasa, aseme sasa; Ya kwamba fadhili zake ni za milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa