Ingia / Jisajili

Nitaondoka Nitakwenda

Mtunzi: Kulwa G. Paul
> Mfahamu Zaidi Kulwa G. Paul
> Tazama Nyimbo nyingine za Kulwa G. Paul

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: KULWA GEORGE

Umepakuliwa mara 3 | Umetazamwa mara 30

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 24 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo

Nitaondoka nitakwenda: kwa Baba yangu x2 Nakumwambia, Baba nimekosa juu ya mbingu na mbele yako. x2

1. Ee Mungu unirehemu sawasawa na fadhili zako, na uyafute makosa yangu.

2. Unioshe kabisa, unioshe na uovu wangu; na unitakase dhambi zangu.

3. Maana nimeyajua, nimeyajua makosa yangu; na dhambi yangu i mbele yangu daima.

4. Ee Mungu uniumbie, uniumbie moyo safi; na uifanye upya roho yangu.


Maoni - Toa Maoni

Munyiva Jun 17, 2018
Hongera kwa nyimbo nzuri sana. Lyrics ni nzuri lakini ningependa kuzisikiliza nyimbo.

Toa Maoni yako hapa