Ingia / Jisajili

Ombeni Mkisali

Mtunzi: Rumba, D.f.
> Mfahamu Zaidi Rumba, D.f.
> Tazama Nyimbo nyingine za Rumba, D.f.

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Eusebius Joseph Mikongoti

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 26

Download Nota
Maneno ya wimbo

Bwana asema Amini, Amini, Amini nawaambieni x2 Yote myaombayo mkisali amini ya kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu x2 Nanyi kila msimamapo na kusali, sameheni mkiwa na neno juu ya mtu, [Ili na Baba yenu aliye Mbinguni awasameheni ninyi makosa yenu x2]


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa