Mtunzi: Joseph J Mitepa
> Mfahamu Zaidi Joseph J Mitepa
Umehakikiwa na Kamati ya Uhakiki
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Joseph Mitepa
Umepakuliwa mara 21 | Umetazamwa mara 8
Download Nota Download MidiKiitikio
Utakatifu tumeumbiwa sote, na tumeitwa kuwa watakatifu, tukiisoma injili na kuitafakari tukiyaishi
matakwa yake (ambayo) tukipendana sisi kwa sisi na kuonyana kwa upole tutaifurahia imani yetu,
tukizishika amri za Mungu na kuziishi pia za kanisa tutaurithi uzima wa milele