Ingia / Jisajili

Tuna Alikwa Mezani

Mtunzi: Marini Faustine
> Mfahamu Zaidi Marini Faustine
> Tazama Nyimbo nyingine za Marini Faustine

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Eusebius Joseph Mikongoti

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 27

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Tuna alikwa mezani kwa Bwana, tuna alikwa mezani kwa Bwana, kwenye karamu yake Bwana Yesu x2. Mwili wake mwili wake Bwana ni chakula cha uzima, damu yake ni kinywaji cha Roho zetu, twendeni sote tuna alikwa tukashiriki x2

Mashairi

1. Kanuni ni moja, uwe na moyo safi uwe na moyo safi.

2. Tumpokee Bwana Yesu, katika maumbo ya mkate na divai.

3. Tuule mwili wake Bwana, tupate kushibisha kushibisha Roho zetu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa