Ingia / Jisajili

Ubatizo Wa Bwana

Mtunzi: Fr. Amadeus Kauki
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Amadeus Kauki

Makundi Nyimbo: Ubatizo

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 74 | Umetazamwa mara 1,784

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana alipokwishakubatizwa, Mbingu zikafunguka; Roho akashuka kama hua na kukaa juu yake.
(Na tazama sauti ya Baba ikasikika kutoka mbinguni ikasema kwamba huyu ndiye mwanangu mpendwa wangu, niliyependezwa naye.) x 2

  1. Bwana alipokwisha kubatizwa mto Yordani, mbingu zilifunguka, mbingu zilifunguka.
     
  2. Na sauti ya Baba ikasikika toka mbinguni, sauti ikisema sauti ikisema.
     
  3. Huyu ndiye Mwanangu Mpendwa wangu msikieni yeye, nimependezwa naye, nimependezwa naye.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa