Ingia / Jisajili

Uongo Upi Ni Mbaya Zaidi Ya Uongo Mwingine?

Mtunzi: K. F. Manyenye
> Mfahamu Zaidi K. F. Manyenye
> Tazama Nyimbo nyingine za K. F. Manyenye

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Kiyaya F. Manyenye

Umepakuliwa mara 11 | Umetazamwa mara 37

Download Nota
Maneno ya wimbo

(Uongo upi ni mbaya zaidi ya uongo mwingine), kati ya uongo wa awali na uongo wa mwisho.

(Wakuu wa makuhani na mafarisayo waenda kwa Pilato),kuithibitisha kauli ya Yesu hai mile

Mheshimiwa tumekumbua Yule Mjanja alisema alipokuwa akali hai, eti baada ya siku tatu atafufuka.

Kwa hiyo amuru kabuli lilindwe, mpaka siku ya tatu,ili wanafunzi wake wasije wakamuiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka x2

Pilato akawaamuru waweke walinzi na walinzi waliwekwa,(wakalilinda kabuli salama kwa kulitia lile jiwe muhuri) x 2

Siku ya kwanza ya juma ghafla kukatokea tetemeko kubwa la nchi, malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni,akaliviringisha lile jiwe akalia

Walinzi wa lile kabuli wakatetemeka kwa hofu kubwa hata wakawa kama wamekufa .......


Maoni - Toa Maoni

laurian simon luhende Feb 14, 2018
dah!!!!!! sawa hongera bhana

Toa Maoni yako hapa