Mtunzi: Robart D. Ngaila
> Mfahamu Zaidi Robart D. Ngaila
> Tazama Nyimbo nyingine za Robart D. Ngaila
Makundi Nyimbo: Utatu Mtakatifu
Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata
Umepakuliwa mara 5 | Umetazamwa mara 19
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Utatu Mtakatifu Mwaka B
Umehimidiwa Bwana, Mungu wa Baba zetu x2, Wastahili sifa, wastahili sifa, wastahili sifa na kutukuzwa milele 2.
Mashairi:
1. Umehimidiwa Bwana, Mungu wa Baba zetu, wastahili sifa milele yote.
2. Usifiwe Eewe Kristu, anaye hubiriwa, katika mataifa milele yote.
3. Usifiwe Eewe Kristu unaye aminiwa katika ulimwengu milele yote.