Mtunzi: Martin Mutua Munywoki
> Tazama Nyimbo nyingine za Martin Mutua Munywoki
Makundi Nyimbo: Mwaka wa Huruma ya Mungu | Zaburi
Umepakiwa na: Martin Munywoki
Umepakuliwa mara 7 | Umetazamwa mara 36
Download Nota Download MidiBwana amejaa huruma (na neema)
Amejaa huruma na neema, amejaa huruma na neema
1. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana (Bwana), na vyote vilivyomo ndani yangu ndani ya-ngu
Vilihimidi Jina lake takatifu (Jina) ee ee nafsi yangu umhi-midi Bwana
Wala usizisahau fadhili zake zake zote (fadhili), Usisahau, na fadhili zake zote
2. Akusame-he maovu yako yote (yote), Akuponya magonjwa yako yote yako yote
Aukomboa uhai wako na kaburi (lako), akuti-a taji la fadhili na rehema
Bwana ndiye atendaye atendaye mambo ya haki(ya haki), na hukumu kwa wote wanaoonewa
3. Alimjulisha Musa nji-a yake (njia), nao wana wana wa Israeli matendo yake
Bwana amejaa huruma na neema (ne'ma), hakasiriki upesi ni mwingi wa fadhili
Mbingu zilivyoinuka juu ya nchi kadri ile (ileile), rehema zake, ni kuu kwa wamchao