Ingia / Jisajili

Bwana Ni Nani Atakayekaa Katika Hema Yako

Mtunzi: Michael Mhanila
> Mfahamu Zaidi Michael Mhanila
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Mhanila

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Michael Mhanila

Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 21

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana ni nani atakayekaa katika hema yako ni nani atakayekaa katika hema yako Bwana nani Bwana nani atakayekaa katika hema yako                    1.Bwana ni nani atakayefanya maskani yake katika kilima chako kitakatifu ni yeye aendaye kwa ukamilfu  2.Asemayekweli kwa moyo wake asiyesingizia kwa ulimi wake yeye ambaye hakmtenda mwenziwe mabaya hakmsengenya jirani yake


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa