Ingia / Jisajili

Nitaenenda Mbele Za Bwana

Mtunzi: Augustino Isack
> Mfahamu Zaidi Augustino Isack
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustino Isack

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Augustino isack

Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 37

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

(K) Nitaenenda mbele za Bwana Katika nchi za walio hai. x2

[1] Aleluya, Nampenda bwana kwa kuwa anisikiliza sauti yangu na dua zangu,

     Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote!

[2]Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata niliona taabu na huzuni,

    Nikaliitia jina la Bwana; Ee Bwana, Mungu wangu,uniokoe.

[3] Maana ameniponya nasfi yangu na mauti, Macho yangu na machozi,

     Na miguu yangu na kuanguka.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa