Mtunzi: Augustino Isack
> Mfahamu Zaidi Augustino Isack
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustino Isack
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Augustino isack
Umepakuliwa mara 4 | Umetazamwa mara 37
Download Nota Download Midi(K) Nitaenenda mbele za Bwana Katika nchi za walio hai. x2
[1] Aleluya, Nampenda bwana kwa kuwa anisikiliza sauti yangu na dua zangu,
Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote!
[2]Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata niliona taabu na huzuni,
Nikaliitia jina la Bwana; Ee Bwana, Mungu wangu,uniokoe.
[3] Maana ameniponya nasfi yangu na mauti, Macho yangu na machozi,
Na miguu yangu na kuanguka.