Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye
Makundi Nyimbo: Juma Kuu
Umepakiwa na: Beatus Idama
Umepakuliwa mara 10 | Umetazamwa mara 54
Download NotaJOSEPH MAKOYE
NYAKAHOJA MWANZA
COPIED BY BEATUS M. IDAMA
ST. JOSEPH'S CATH. DSM. AUGUST 2010
Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana, nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana x 2
1. Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana farasi na mpanda farasi amewatupa baharini
2. Bwana ni nguvu zangu naye amekuwa wokovu wangu yeye ni Mungu wangu nami nitamtukuza daima