Ingia / Jisajili

Nitamwimbia Bwana

Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Beatus Idama

Umepakuliwa mara 10 | Umetazamwa mara 54

Download Nota
Maneno ya wimbo

JOSEPH MAKOYE

NYAKAHOJA MWANZA

COPIED BY BEATUS M. IDAMA

ST. JOSEPH'S CATH. DSM. AUGUST 2010

Nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana, nitamwimbia Bwana kwa maana ametukuka sana x 2

1.     Nitamwimbia Bwana kwa maana  ametukuka sana farasi na mpanda farasi amewatupa baharini

2.     Bwana ni nguvu zangu naye amekuwa wokovu wangu yeye ni Mungu wangu nami nitamtukuza daima


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa