Ingia / Jisajili

Huu Ni Mwili Wa Kristu -II

Mtunzi: Beatus M. Idama
> Tazama Nyimbo nyingine za Beatus M. Idama

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Beatus Idama

Umepakuliwa mara 8 | Umetazamwa mara 47

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Huu ni mwili wa Kristu twendeni wote tupate kuula
Hii ni damu ni damu ya Kristu twendeni wote tupate kuinywa
Anatualika Kristu kwa unyenyekevu tukampokee.
Njooni wote kwa karamu ya muijiza na siri.

  1. Kila tunapo kula mkate na kuinywa damu yake katika kikombe hiki twatangaza kifo cha bwana mpaka atakapo kuja.
     
  2. Tujongee meza ya mkombozi kwa kustahili, tukampokee mwana kondoo chakula cha roho zetu. Yeye ndiye chakula bora, chakula chetu  wasafiri. 

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa