Ingia / Jisajili

Mimi Ndimi Chakula

Mtunzi: Beatus M. Idama
> Tazama Nyimbo nyingine za Beatus M. Idama

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Beatus Idama

Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 37

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; Mimi ndimi chakula chenye uzima

Mtu akila chakula hiki ataishi milele, ataishi milele
(Kwa maana chakula nitakachotoa) - ni mwili wangu mimi na kinywaji nitakachotoa ni damu yangu;
//:Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi://

1. Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu, hukaa ndani yangu nami ndani yake; Nami nitamfufua siku ile ya mwisho;
Nitamfufua, nitamfufua siku ile, siku ya mwisho.

2. Na chakula nitakachoto-a ni mwili wangu, ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu; Basi fanyeni hivi kila mnaponikumbuka;
Fanyeni hivi, kwa kunikumbuka, fanyeni hivi kwa kunikumbuka.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa