Mtunzi: Beatus M. Idama
> Tazama Nyimbo nyingine za Beatus M. Idama
Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio
Umepakiwa na: Beatus Idama
Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 37
Download Nota Download Midi
Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; Mimi ndimi chakula chenye uzima
Mtu akila chakula hiki ataishi milele, ataishi milele
(Kwa maana chakula nitakachotoa) - ni mwili wangu mimi na kinywaji nitakachotoa ni damu yangu;
//:Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi://
1. Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu, hukaa ndani yangu nami ndani yake; Nami nitamfufua siku ile ya mwisho;
Nitamfufua, nitamfufua siku ile, siku ya mwisho.
2. Na chakula nitakachoto-a ni mwili wangu, ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu; Basi fanyeni hivi kila mnaponikumbuka;
Fanyeni hivi, kwa kunikumbuka, fanyeni hivi kwa kunikumbuka.